*mgodi wa madini ya tanzanite unauzwa mererani, manyara
-location: mererani block d, simanjiro district
-ukubwa wa eneo: 2 acres
-Eneo Tayari limechimbwa meter 150
-eneo lina kibali halali cha uchimbaji madini( primary mining licence) kutoka serikali ya tanzania kupitia ministry of minerals( mining commission)
-kimeainishwa chini ya the mining act, cap. 123
-namba ya leseni(licence number) - PML00538SMN
-kibali kiko valid kwa miaka 7. kimeidhinishwa awali 5/9/2022 na kitaexpire 5/9/2029.
-nb: Mmiliki wa eneo ameshusha bei kutoka 750M mpaka 500M na anapokea malipo ya awamu ambapo Mnunuzi atalipia 250M mwanzoni baada ya miezi mitatu atamalizia 250M na kukamilisha taratibu zote za umiliki na taratibu zote hizo zitafanyika kwa makubaliano ya kisheria. Mmiliki ni mchimbaji(miner) mstaafu na anaumiliki halali wa kisheria wa eneo hilo.