Nauza viwanja vya square metre 740,772 kitongoji cha Makurunge,wilaya ya Bagamoyo.Viwanja vipo mita 150 kutoka barabara kuu ya dar moshi arusha.Viwanja vimepimwa na kuidhinishwa na wizara ya ardhi.Huduma za jamii zinapatikana:maji, umeme,shule etc.Square metre 1 sh 7000.