Usiache fursa hii ya uwekezaji ikupite.
nyumba kubwa inauzwa.
iko - bagamoyo, tanzania
mahali - makurunge mjini.
bei tshs milioni 20 tu.
kiwanja cha nyumba ni sqm 225 (15×15).
• nyumba ina sifa zifuatazo-;
vyumba viwili
kimoja master
sitting room
choo public
kibaraza cha kupumzikia.
nyaraka za umiliki, sales agreement.
kutoka lami ni dakika tatu kwa miguu.
nyumba iko eneo tulivu sana.
barabara ya gari inafika mpaka kwenye nyumba.
umeme/maji vipo 24/7.
ukinunua ni kuhamia tu.
pia unaweza kupangisha ukaendelea kuchukua kodi.
•wahi kabla haijauzwa. piga simu leo-;
+
bei tshs milioni 20 tu.
maongezi yapo.