BOMA LINAUZWA – PUGU KARIBU NA KONA!
Unatafuta nyumba ya kumalizia kwa gharama nafuu? Hii ndiyo fursa yako!
Boma lenye vyumba 6 Ukubwa wa eneo 17 × 15 Umbali wa mita 100 tu kutoka barabara kuu Eneo zuri, linafikika kwa urahisi na huduma muhimu zipo karibu.
Bei ni TSh Milioni 12.5 tu! (Mazungumzo yapo.)
Usikose nafasi hii ya kujenga maisha yako au kufanya uwekezaji wenye faida.
Piga simu au WhatsApp:
Wahi sasa, fursa kama hii hazidumu!