Nyumba inauzwa na bank na mwenyewe ameridhia, iko pugu bombani. iko umbali wa mita 700 toka barabara iendayo chanika, na mita 300 toka barabara iendayo kisarawe
area: sqm 424
price : mil 110
umiliki : hati
sifa zake-:
-vyumba vitatu vya kulala
-chumba kimoja ni master
-jiko na store
-sebule na dinning
-choo cha public
-choo cha nje
-servant quarter ya vyumba viwili
-ndani ya fence
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: