Boma Ng'ombe kwa Msomali
Distance: Kutoka main road ya Moshi- Arusha road ni 3km
Shamba lote limelimwa Nyanya, Mahindi, Maharage pamoja na Mbogamboga.
Shamba linafaa kwa Kilimo cha Umwagiliaji lina miundo mbinu inayovuta maji Kutoka Mto Sanya unaozunguka shamba
Plot size Ekari 58
Document: Title Deed
*Bei ni shilingi milioni 17 kwa kila ekari*