Kiwanja /shamba la heka 17 linauzwa, linapatikana Mwanza Kanyama meter 500 kutoka stand ya mabus Nyamhongoro, hlo eneo lko meter 200 kutoka barabara ya lami, n eneo kubwa sana ndan ya eneo hlo kuna miti ya matunda kuna, nyimba kubwa ya mlinzi, matank 2 makubwa yakuhifadhi maj,majengo mawili yakufungia kukua hlo eneo lmeizungukwa na makaz ya watu, unaweza jenga shule, hospital, viwanda, vyuo,kwa ufugaj,kujenga apartment,godawn nk,lko eneo zur mno na nkarbu na barabara ya lam panauzwa