Nyumba inauzwa size 659sqm
Ipo njiro mita 200 kutokea hapo pillaz
Vyumba 3
Vyoo 2
Sebule kubwa
Dining
Jiko kubwa
Veranda ya mbele na nyuma
Parking kubwa
Nyumba ya nje yenye
Room moja yakulala na choo chake
Jiko sebule
Nyumba ya mlinzi na choo chake
Kuna jiko la nje pia
Matenki makubwa sana maji
Nyumba ipo mtaa wa ngorongoro hapa temdo
Inauzwa na fanicha zote
Mafriji mawili
Vitanda 4
Sofa za gharama
Majiko, ovens, microwave kilakitu.
Bei milion 320 mwenyewe anataka cash.
Kodi utalipia wewe
Furniture's zilizopo hapo ni garama
Nyumba ipo eneo zuri sana hapa arusha nyuma ya happy mart supermarket hapa temdo