Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Gesi, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Yes
Chaji ya Huduma
10000
Ada ya Utafiti
10000
Ada ya Maendeleo
10000
Ada ya Kisheria
200000
Ada ya Agenti
Shamba la ekari 60 linauzwa milioni 450 maongezi yapo lipo mwavi, bagamoyo mkoa wa pwani
distance kilometer 2 tu kutoka barabara kubwa bagamoyo road
location shamba limeshika barabara ya mwavi kwenda viwandani inayowekwa lami
shamba linauzwa na vitu vyote vilivyomo ndani ikiwemo mifugo
shamba kuna ekari 1 imezungushiwa fence ambapo kuna mbuzi na kondoo 400 ng'ombe wakubwa 50 ndama 6 wapo wanao kamuliwa
kuna ghorofa ina vyumba v4 vya kulala, juu vyumba v2 na chini v2.
pia kuna nyumba ya wafanyakazi na mabanda ya mifugoa na mazizi mawili ya ng'ombe
ndani ya shamba kuna umeme maji safi dawasco
-plot size ekari 60
-document: survey (pamepimwa)
bei shilingi milioni 600 maongezi yapo