Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji, Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Gesi
Vituo vya
Shamba linauzwa
mkoa Morogoro
wilaya Mvomero
Ukubwa Acre 500
Umbali kilomita 4 tu kutoka Iringa road
Huduma maji yapo mda wote shamba linafaa kilimo cha mpunga & kumwagilia
Bei milion 250
Maji masaa 24
wastan wa Acre kwa shilingi 500000 tu