Shamba liko Km 9.5 kutoka katikati ya Mji wa Tabora. Liko katika kijiji cha Uyui,manispaa ya Tabora.
Shamba limepakana na shule ya Msingi,lina maji ya ziwa Victoria,na umeme umepita shambani. Barabara ya kwenda Kalumwa imepita katikati ya shamba.
Zamani lilitumika kama eneo la shule enzi za ukoloni.
Bei shilingi Milioni 2 kwa ekari,lakini mazungumzo yapo. Umeme upo.
au067XXXXXXX