Yard inauzwa msongola wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam
Yard ina ukubwa wa square meter 6000.sawa na ekari 1 na nusu.Yard yoote ipo kwenye fensi,na ina face barabara kuu ya lami.
Mteja atakaenunua yard hii,anapaswa kumlipa dalali asilimia 5 ya thamani ya pesa atakayolipia kwenye yard.
Bei yake shilingi milioni. 700
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu