Nyumba inauzwa kitonga kata ya msongola wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room, store na flame mbili za biashara.Vyumba vi wili ni master bedroom.
Bei yake shilingi milioni. 75
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu