Nyumba mbili kwa pamoja zinauzwa na bank msongola njia 4 manispaa ya ilala, moja ni pagale na nyingine imeshaisha
loc :msongola njia 4
area : sqm 900 kwa kila nyumba
price : mil 32 kwa nyumba zote
umiliki :mkataba wa mauziano
n. b. ukitaka pagale peke yake ni milioni 16 na nyumba iliyoisha ni milioni 19.5
sifa:- kila nyumba ina
-vyumba vutatu vya kulala, kimoja ni master
-dinning
-jiko
-store
-choo cha public
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
email
insta
facebook: excela joshua
follow this link to join our whatsapp group:
(wngn)