tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Biashara Inauzwa
Imefaulu
Kilimanjaro, Moshi Mjini, 46 min ago
38 maoni

Ekari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, Karatu

+1
1
Ardhi ya Biashara
Aina
28000sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
*ekari 7 za msitu halisi (ngorongoro fireline) zinauzwa marera, karatu* kama ulikosa fursa ya serengeti, usikose hii! 5km kutoka barabara kubwa ya lami ya kuelekea ngorongoro hii ni fursa ya mara moja katika maisha ya kumiliki ekari 7 za ardhi ya hadhi ya juu marera, karatu, *ikipakana kabisa* na *msitu wa hifadhi ya ngorongoro(fire line)*. hapa si ardhi tu; ni eneo la kuaminika la kupita kwa wanyamapori! *kwanini uwekeze hapa?* *umoja wa karibu:* eneo lipo kilometa 15 tu kutoka geti la kasanaga (ngorongoro). mradi wako unakuwa karibu na hifadhi kuliko kambi nyingi. *safari live:* ndani ya eneo kunapita wanyama kama tembo, nyati, swala, na mbwa mwitu huvuka mpaka mara kwa mara. *uhalali wa nyaraka* umiliki: hati safi ya kumiliki ardhi (title deed) ipo. *bei: tzs milioni 480 inapungua
Ekari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, KaratuEkari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, KaratuEkari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, KaratuEkari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, KaratuEkari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, KaratuEkari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, KaratuEkari 7 Za Msitu Halisi (Ngorongoro Fireline) Zinauzwa Marera, Karatu
TSh 480,000,000Outright Price
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif