Usambazaji wa Maji, Maegesho ya Gari, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Stima, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Gesi
Vituo vya
Shamba la heka 1,000 linauzwa Morogoro eneo la Mkonowamala Kingolwira kilomita 25 kutoka main road ya Morogoro Dar title deed safi barabara inapitika nyakati zote za mwaka ni jirani ya mto Ngerengere kuna nyumba za wafanyakazi kisima cha maji pamoja na josho la kuoshea mifugo bei Tsh 1.5 milion maongezi kwa mwenyewe,