tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mbegu na Mbolea
Morogoro, Morogoro Mjini, 08/06
57 maoni

Miche Ya Cocoa

+1
6
Nyingine
Aina
* habari, leo tunawaletea miche bora ya cocoa kwa bei ya punguzo * cocoa ni moja ya zao ambalo limekuwa ghali kwa sasa kilogram 1 imefikia kiasi cha tsh 26,500/= * hii imesababishwa na kupungua kwa uzalishaji wa zao hili * tunakukaribisha ww mkulima uje kujipatia miche bora kabisa kutoka kitaluni kwetu miche hii kwa sasa hivi utaipata kwa bei ile ile ya zamani ya tsh 4,000/= * ukichukua kuanzia miche 100 utapata discount,,ambapo mche mmoja utauziwa kwa tsh 3,500/= * unakaribishwa kuweka oder yako sasa,, tunapatikana morogoro mjini karibu na nashera hotel * namba ya mawasiliano ni068XXXXXXX
Miche Ya CocoaMiche Ya Cocoa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif