Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Gesi, Maegesho ya Gari
Vituo vya
300000
Ada ya Agenti
IHili shamba lina heka 100... lipo Mikese kilometa 9 kutoka barabara kuu. Lina vitu vifuatavyo;
1. Lina miti ya mitiki heka 10
2. Minazi heka 5
3. Michungwa heka 5
4. Lina mto mdogo unapita na una maji yasiyokauka mwaka mzima
5. Ipo migomba kadhaa
6. Una sehemu yenye mazingira mazuri kwaajili ya kutengeneza bustani.
7. 50% ya shamba limesafishwa kwa maana ya kutolewa visiki
8. Kuna nyumba 4 kwaajili ya wafanyakazi
9. Hati miliki ya shamba ipo katika hatua za mwisho
10. Bei Tsh 900,000 kwa kila heka.