Eneo lipo Sangasanga karibu na njiapanda ya kwenda Mzumbe University, Morogoro. Lina ukubwa wa 81mx45m sawa na square meters 3,645. Eneo linafikika vizuri kwa barabara ya kupita magari. Unaweza kutumia eneo kwa makazi na biashara. Huduma za kijamii zote zinapatikana kwa ukaribu sana. Tuwasiliane kwa namba068XXXXXXX