Eneo zuri sana limekamata main road (morogoro road) linafaa kwa kiwanda, bandari kavu, sheli, nakadharika linauzwa mlandizi, wilaya ya kibaha mkoa wa pwani
ukubwa ni ekari 5.5
bei: tsh milini 990
umiliki: hati
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 50. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: