tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Kilimo Inauzwa
Pangani, Tanga, Mkwaja, siku 2 zilizopita
2 maoni

Shamba La Heka 20 Linauzwa Mkwaja, Mikocheni Shilikishoni, Tanga.

+1
Shamba
Aina
80000sqm
Mita za mraba
Mchanganyiko
Matumizi ya Sifa
Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Partially Developed
Development Status
Gravel Road
Access Road
Shamba la heka 20. *Kuna bwawa kubwa lina samaki. *Maji kwajili ya kilimo cha umwagiliaji ndani ya bwawa yanakaa mwaka bila kukauka. *Miti 33 ya korosho tayari ina matunda na mingine bado inaweka maua. *Ni shamba la pili kutoka beach *Location: Mkwaja, kijiji cha mikocheni shilikishoni.katikati ya saadani na pangani,Tanga. *Umbali kutoka lami ni 2kms. Njia zipo vizuri. *Hati ni ya mauziano na serikali ya kijiji.
Shamba La Heka 20 Linauzwa Mkwaja, Mikocheni Shilikishoni, Tanga.Shamba La Heka 20 Linauzwa Mkwaja, Mikocheni Shilikishoni, Tanga.
TSh 50,000,000Outright Price
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif