Shamba la heka 20.
*Kuna bwawa kubwa lina samaki.
*Maji kwajili ya kilimo cha umwagiliaji ndani ya bwawa yanakaa mwaka bila kukauka.
*Miti 33 ya korosho tayari ina matunda na mingine bado inaweka maua.
*Ni shamba la pili kutoka beach
*Location: Mkwaja, kijiji cha mikocheni shilikishoni.katikati ya saadani na pangani,Tanga.
*Umbali kutoka lami ni 2kms. Njia zipo vizuri.
*Hati ni ya mauziano na serikali ya kijiji.