Viwanja tatu vimeungana vinapatikana Mwanza Ruchelele (malimbe SAUT) kwenye barabara ya lami viwanja vyote vina square meter 1578,kuna frem tatu za kupangisha, umeme upo, maji yapo, n eneo kubwa sana viwanja vimegusa barabara mbili ya mbele na yanyuma vimepimwa na vina hati miliki vyote vinauzwa karbu sana maongez yapooooooo cm