200 acres ya maeneo ya Shamba yenye rutuba nzuri. Unaweza kulima machungwa,maembe,Katani,Mahindi,ufuta,mihogo,alizetti. Kufuga mbuzi,ngombe,kuku,nguruwe. Sio mbali na barabara kuu inayoenda Dar-Arusha. Maeneo Yako chini ya mpango miji.Mkata Sasa ni Wilaya.kila eka ni Tsh400,000/- Si Uzi chini ya eka ishirini.