Nyumba inauzwa – dodoma mjini
bei: tzs 1.5 billion
unatafuta nyumba yenye location nzuri kwa makazi au uwekezaji? hii ni fursa nzuri sana!
eneo: dodoma mjini, karibu na uwanja wa mpira
kiwanja: pili tu kutoka kwenye barabara kubwa ya lami
ukubwa wa eneo: 2,983 sqft
faida za eneo hili: karibu na barabara kuu ya lami
karibu na uwanja wa mpira
ipo katikati ya dodoma mjini
inafaa kwa makazi, biashara au uwekezaji
eneo lenye thamani na potential kubwa ya kuongezeka thamani
bei: tzs 1,500,000,000
kwa maelezo zaidi, kuiona nyumba na mazungumzo ya bei:
simu/whatsapp:
location • value • investment
#nyumbainauzwa #dodoma #dodomamjini #nyumbadodoma #realestatetanzania #propertyforsale #dodomarealestate #investment #nyumbayakununua