Handeni Vijijini, Tanga, Misima, siku 1 zilizopita
31 maoni
Osotwa English Medium Primary School for Sale
+1
2
Shule
Aina ya mali
Handeni msomera (misima)
Anwani
Bila samani
Samani
Imejengwa Mpya
Hali
40468sqm
Mita za mraba
10+
Nafasi za Maegesho
Yes
Maegesho Salama
Namba ya usajili wa shule ni.EM.17582
Eneo la shule ni heka kumi (10 acres)
Eneo hilo lina hati kamili ya umiliki (title deed)
Idadi ya madarasa ni nane.
Idadi ya vyumba vya ofisi ni vinne.
Idadi ya vyoo ni kumi ila jengo la vyoo halijakamilika kwenye upauzi.
Jengo la bweni la wasichana limekamilika kwa asilimia 90%.
Hadi sasa shule ina wanafunzi wachache maana shule bado ni mpya kabisa.
Umeme upo pia maji yapo ya uhakika kabisa.
Karibu sana usiogope bei njoo na offer yako maana MAONGEZI YAPO