Shamba la mkonge ekari 150 linapatikana kwa mauzo – mihuga, chalinze
eneo: mihuga, miono – chalinze, mkoa wa pwani
ukubwa wa shamba: ekari 150
umbali:
- km 7 kutoka miono
- km 21 kutoka barabara kuu ya msata–tanga
- gari inafika moja kwa moja hadi shambani
hali ya shamba:
- ekari 60 tayari zina mkonge
- ekari 90 hazina mkonge, lakini shamba lote limeendelezwa na linafaa kwa shughuli za kilimo
- mashine ya kuchakata mkonge ipo
- hati miliki ipo kwenye mchakato
- eneo linafikika kwa gari hadi shambani
bei: tsh320,000,000/=
bei bado inajadiliwa.
karibu