tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Biashara Inauzwa
Bagamoyo, Pwani, Miono, 23/07
3 maoni

Shamba Linauzwa Mihono Pwani Acre 159

+1
Ardhi ya Biashara
Aina
159sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua
Vituo vya
Partially Developed
Development Status
Dirt Road
Access Road
Residential Licence
Kichwa
200000
Ada ya Agenti
SHAMBA KUBWA LINAUZWA – FURSA YA KIPEKEE YA UWEKEZAJI! Unatafuta shamba kubwa lenye rutuba kwa kilimo cha kisasa, ufugaji au uwekezaji wa muda mrefu? Hii ni fursa usiyoipaswa kuikosa! Mahali: Kijiji cha Masimbani, Miono – Chalinze. Umbali: Takribani km 10 kutoka Miono. Ukubwa wa shamba: Hekari 159. Hekari 30 zimeondolewa visiki na ziko tayari kuanza shughuli. Hekari 100 zimefyekwa. Hekari 29 bado ni pori kwa ajili ya maendeleo ya baadaye. Udongo wenye rutuba wa rangi nyeusi na mwekundu, unaofaa kwa mazao mbalimbali ya biashara na chakula. Barabara inafikika kwa gari, hivyo usafiri wa watu na mazao ni rahisi. Umiliki: Hati za Kijiji. Bei: TSh 350,000 tu kwa kila hekari. Linafaa kwa: - Kilimo cha mazao ya biashara (miwa, michikichi, matunda, nafaka na mengineyo).
Shamba Linauzwa Mihono Pwani Acre 159Shamba Linauzwa Mihono Pwani Acre 159Shamba Linauzwa Mihono Pwani Acre 159
TSh 65,000,000Outright Price
3 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif