SHAMBA KUBWA LINAUZWA – FURSA YA KIPEKEE YA UWEKEZAJI!
Unatafuta shamba kubwa lenye rutuba kwa kilimo cha kisasa, ufugaji au uwekezaji wa muda mrefu? Hii ni fursa usiyoipaswa kuikosa!
Mahali: Kijiji cha Masimbani, Miono – Chalinze.
Umbali: Takribani km 10 kutoka Miono.
Ukubwa wa shamba: Hekari 159.
Hekari 30 zimeondolewa visiki na ziko tayari kuanza shughuli.
Hekari 100 zimefyekwa.
Hekari 29 bado ni pori kwa ajili ya maendeleo ya baadaye.
Udongo wenye rutuba wa rangi nyeusi na mwekundu, unaofaa kwa mazao mbalimbali ya biashara na chakula.
Barabara inafikika kwa gari, hivyo usafiri wa watu na mazao ni rahisi.
Umiliki: Hati za Kijiji.
Bei: TSh 350,000 tu kwa kila hekari.
Linafaa kwa:
- Kilimo cha mazao ya biashara (miwa, michikichi, matunda, nafaka na mengineyo).