Shamba zuri sana lina chanzo cha maji linauzwa kijiji cha masimbani miono wilaya ya bagamoyo
location:miono wilaya ya bagamoyo
ukubwa ni ekari 150
bei: milioni 55
umiliki wake ni mkataba wa serikali ya kijiji
garama ya kupelekwa site ni shilingi elfu 30, hii haihusishi usafiri
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link:
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana nasi haraka