Shamba la ekari 330 linauzwa Mkuranga, Mkanoge
- Umbali: km 90 kutoka Mbagala Rangi Tatu, km 17 kutoka barabara ya lami
- Eneo: Industrial Area
- Majirani: Shamba la Mzungu (ekari 1,200) lenye makadamia, na mashamba binafsi
- Matumizi: Agro Farm
- Miti ya biashara:
- Teak wood 12,500 (TSh 10Bn, huvunwa baada ya miaka 10)
- Mikaratusi 15,000 (TSh 2.25Bn, huvunwa 2030)
- Mikunuka 2,000 (TSh 1Bn, huvunwa miaka 8)
- Miti mingine: Mchikichi 250, Mikorosho 6,000, Minazi 1,200, Miembe 2,500, Mindimu 1,200
- Majengo: Godown (600 sqm), nyumba 3, stoo ya mashine
- Miundombinu: Mabwawa ya samaki 7, banda la mbuzi, banda la ng’ombe (40), visima 2 (mita 130), minara 8 ya umwagiliaji
- Hati: Ekari 200 zina hati miliki, ekari 130 zimepimwa
- Umeme: Upo Nyamato, km 7 hadi shambani
- Bei: TSh 2.5Bn, mazungumzo yapo