tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Biashara Inauzwa
Mvomero, Morogoro, Melela, 06/05
3 maoni

Acre 51000

+1
1
Ardhi ya Biashara
Aina
10000sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
Usambazaji wa Maji, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Maegesho ya Gari, Usambazaji wa Gesi
Vituo vya
Ukubwa wa shamba ni Acre 51000 shamba lina Title deed Huduma zote zipo maji umeme barabara safi kila kona ya shamba ___________________________ Matumizi ya shamba unaweza kufanya shughuli zifuatazo 1:Linafaa kilimo cha kumwagilia msimu mzima kiangazi vuli na masika maji yapo mda wote 2:Unaweza kujenga camp kubwa za kitalii kwa sababu Eneo lipo karibu na Mikumi 3: Shamba Limetazama barabara ya Iringa Morogoro kuna zaidi ya acre 6000 zimetazama barabara kubwa 4:Eneo linafaa Maviwanda mahoteli & Camp makubwa kwa sababu Umeme Mkubwa maji baraba safi mpaka site ____________________________ Mahitaji kukata zinazo anza kukatwa: Title deed (Hati ) 1:Tunakata kuazia Acre 500 unapata Title deed Galama kwa Acre ni 500000 tu Acre 500× 500000=Million 250 Mazungumzo yapo kwa anayehitaji na kufika site mazungumzo hayazunzwi kwenye simu ni shamba 2:Acre 1000 Bei milion 500 (Title deed ) 3:Acre 2000 Bilion 1: Title deed zipo 4:Acre 5000 Bei Bilion 2.5 site kila siku tunaenda Morogoro
TSh 250,000,000Outright Price
3 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif