Shamba zuri sana kwa kilimo, ufugaji, uwekezaji au hata na makazi linauzwa kijiji cha kwang'andu, mbwewe chalinze. shamba liko umbali wa kilomita 2 toka barabara kuu
area : eka 6
price : mil 6
umiliki: mkataba wa serikali ya kijiji
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta excela joshua
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link:
#shambalinauzwa #chalinze #pwani #mbwewe #kwangandu landforsale realestatetanzania uwekezaji tanzania