Mashamba haya bora kwa kilimo cha Mahindi ufuta matunda mihogo makazi na kufuga mashamba bora kabisa
1:Acre 90 kilomita 1
Bei acre moja 200,000
2:Acre 120 kilomita 3
acre moja Shilingi 15000
3:Acre 110 kilomita 4
acre moja Shilingi 150000
mashamba umbali kutoka Dar ES SALAAMni kilomita 150 tu
Nauli kwenda na kurudi kama unatokea Dar ni shilingi 20000 tu