Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Gesi, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Eneo linazwa mbwewe pwani
Ukubwa Acre 100
Shamba limepitiwa na barabara kubwa inakwen kutokea mtibwa barabara safi mabasi magari ya mizigo yanapita hapo umeme umepita hapo maji yanapita hapo umeme mkubwa upo hapo shambani shamba linafaa kwa kilimo chochote na kufuga acre moja shilingi 400000