Eneo zuri linauzwa mbweni ubungo, mita 400 kutoka barabarani, eneo lina ukubwa wa sq 1400, lipo full document.
eneo lina matofali, kokoto na tayari lina msingi wa fence. bei yake ni mil.350 maongezi yapo,bei hiyo ni pamoja na vyote vilivyomo matofali zaidi ya elfu mbili, mchanga na kokoto pia. kwa maelezo zaidi wasiliana nami kuja kuona ni bure kabisaa, karibuni sana