Nyumba ya Gorofa inauzwa mbweni Malindi. Ina vyumba vya kulala vitano,sitting room, dining,kitchen public toilet.kuna nyumba ndogo ya gorofa ina bedroom mbili... nyumba nzuri sana... ina Cctv camera.Eletrical fence. Ipo umbali wa mita 100 kutoka barabara ya ramii... kiwanja chake sqm 10000. Garaama ya kwenda kuona Service charge Tsh 100000/=