Family apartment• inapangishwa
ipo ~ dar es salaam -tz
mahali ~ mbweni jkt
kodi ~ tsh 600,000/=
kwa mwezi
nyumba ya familia
yenye
vyumba viwili vikubwa vya kulala
sebule kubwa
jiko lenye makabati ,heater ya kuchemshia maji motto
air condition, fen
pamoja na malipo ya mwezi mmoja wa dalali