Dar es Salaam, Kinondoni, Mbezi, masaa 2 yaliyopita
6 maoni
Tambarale Sana
+1
Ardhi ya Makazi
Aina
460sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji, Maegesho ya Gari
Vituo vya
Kiwanja kipo eneo tambarale na upande mmoja umeshajengwa ukuta(fence), kipo mtaa uliochangamka na huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi, na barabara ya lami inapita mita chache kutoka kwenye nyumba