Kiwanja kinauzwa na mwenyewe mbezi luguruni kwembe maduka sita karibubna kanisa la tag siloamu. kiko umbali wa kilomita 3 toka main road (morogoro road)
area : sqmt 930
price : mil 33 maongezi yapo
umiliki: mkataba wa mauziano, kimeshapimwa hati itatoka kwa jina la mmiliki mpya
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri.
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: