Dar es Salaam, Kinondoni, Mbezi, masaa 3 yaliyopita
6 maoni
6bdrm House in Mbezi for sale
+1
Nyumba
6 vyumba vya kulala
bafu 3
Nyumba
Aina ya mali
Kwa Msuguli
Anwani ya Mali
1000sqm
Ukubwa wa sifa
6
Vyumba vya kulala
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
3
Bafu
For sale = jumba la kisasa kubwa
bangaloo kubwa zuri lenye hati mmiliki linauzwa milioni mia mbili na nusu
nyumba hii kubwa la kisasa lina sifa zifuatazo
# vyumba 6 vya kulala kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#dinning
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet zipo mbili yaani juu gorafani na chini pia
#store zipo 2
#makabati ya nguo vyumbani
nyumba hii ina hati miliki
ukubwa wa eneo ni:- square meter 1000
bei ya kuuzwa nyumba hii ni shilingi maongezi yapo kidogo
nyumba hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda sh elfu 1 tuu hadi kwenye nyumba
nyumba hii kwa sasa inampangaji ndani analipa kodi shilingi laki 8 kwa mwezi
mad