Nyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Kwa nyuma kuna vyumba 3 vimejengwa ila havijakamilika, umeme na maji yapo dawasa, pia njia yake ni rafiki kutoka lami mpaka kwenye nyumba, Ipo umbali wa dakika 13 kwa miguu kutoka morogoro road