Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji DAWASA vyote vipo na huduma nyingine za kijamii zinapatikana kwa urahisi mno. Ipo umbali wa km3 kutoka morogoro road, bajaji Tsh1000, boda Tsh1,500... Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO