NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU INAUZWA IPO MBEZI MSUMI
Anwani ya Mali
Dalalipapaatzseven
Jina la Mtaa
Nyumba
Aina ya mali
Imetumika kwa Haki
Hali
3
Vyumba vya kulala
1
Bafu
2
Vyoo
Bila samani
Samani
Yes
Nafasi ya Maegesho
5
Idadi ya magari
400sqm
Ukubwa wa sifa
50000
Ada ya Agenti
Umeme wa masaa 24
Kulachuma hicho kazi juu ya kazi yani kamaulikosa nyumba bunju ... mzigo huohapo
nyumba ipo mbezi msumi
nyumba nimpya kabisa ina
vyumba v3 sebule jiko choo
uwanja una mita 20kwa20
maji umeme vipo na nyumba ni mpyaaaaa. kutoka msumi stendi mpaka kwenye nyumba ni mitachache sana
inakwenda kwa bei ya milion 38. na maongezi yapo ya kutosha
wahi iweyako tupo nusu mwaka sasa miliki mjengo
karibu hii niofaaa ambayo haijawahi kutokea
#cal071XXXXXXX