Apartments 2 zinauzwa mbezi makabe --dar es salaam
bei: million 70
ukubwa: sqmt 400
zipo ndani ya fence
kila apartment ina vyumba viwili vya kulala ikiwa chumba kimoja ni master, seble, dinning room, jiko na public toilet.
zimepauliwa tayari
ukifanya finishing vizuri unaweza kupangisha kwa tsh. 500,000/= kwa mwezi kwa apartment moja.
kwa maelezo zaidi piga simu ndugu mteja
mad