Eneo lina apartment mbili kwa moja linauzwa na bank mbezi kibanda cha mkaa na mwenyewe ameridhia. liko umbali wa mita 600 tu, toka main road ( hakuna mgogoro wowote)
area: sqm 2987
price : mil 250
umiliki : hati
sifa zake-:
-kila apartment ina vyumba viwili vya kulala
-chumba kimoja ni master
-open kitchen
-sebule
-choo cha public
-jiko la nje kwa kila apartment
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: