Dar es Salaam, Kinondoni, Mbezi, siku 1 zilizopita
3 maoni
Mini Flat in Mbezi Kwa Msuguri for Rent
+1
Ghorofa Ndogo
2 vyumba vya kulala
bafu 2
mbezi kwa msuguri
Anwani ya Mali
mbezi kwa msuguri
Jina la Mtaa
808sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa Ndogo
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
2
Bafu
320000
Ada ya malipo ya huduma
320000
Ada ya malipo
320000
Ada ya Wakala
320000
Ada ya Tahadhari
Mita ya Kulipwa Kabla
Eneo la Kula
Sakafu ya vigae
Umeme wa masaa 24
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Wardrobe
Maji Moto
Ibukizi ya Ibukizi
Microwave
Balcony
Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa sana
#jiko kubwa
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking kubwa ya kutosha
#garden nzuri
bei ni 320k x 3
ilipwe laki 3 na elfu 20 kwa mwezi malipo ya miezi 3 na kuendelea
apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 700 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea 1 upo kwenye nyumba