Dar es Salaam, Kinondoni, Mbezi, siku 1 zilizopita
8 maoni
2bdrm House in Mbezi Kwa Msuguri for rent
+1
1
Nyumba
2 vyumba vya kulala
1 bafu
Mbezi kwa msuguri
Anwani ya Mali
Mbezi kwa msuguri
Jina la Mtaa
700sqm
Ukubwa wa sifa
Nyumba
Aina ya mali
Kutengwa
Aina ndogo
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
1
Bafu
2
Vyoo
30000
Ada ya malipo ya huduma
300000
Ada ya malipo
300000
Ada ya Wakala
300000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Eneo la Kula
Kifaa cha kuosha sahani
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia tarehe 25/03/2024 kuona na kufanya malipo ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala
#sebule ya wastani
!!hakuna master bedroom
#jiko kubwa
#choo kizuri cha ndani kwa ndani (public toilet)
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking kubwa
bei ni 300k x 6
ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo mbezi kwa msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bodaboda
apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 25/03/2024 kuona na kufanya malipo ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja