Dar es Salaam, Kinondoni, Mbezi, siku 1 zilizopita
8 maoni
2bdrm Farm House in Mbezi Makabe for rent
+1
Nyumba ya Shamba
2 vyumba vya kulala
1 bafu
Mbezi makabe
Anwani ya Mali
Mbezi makabe
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Nyumba ya Shamba
Aina ya mali
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
1
Bafu
20000
Ada ya malipo ya huduma
400000
Ada ya malipo
400000
Ada ya Wakala
20000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Eneo la Kula
Kifaa cha kuosha sahani
Makabati ya Jikoni
Microwave
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Apartment nzuri na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 15/10/2023 kuona ndani ni ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo na malipo ni ruksa kabisa
apartment hii inasifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala vikubwa na kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#dining
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#maji yanatoka ndani masaa 24
#aircondition vyumba vyote
#parking kubwa
#garden
#ulinzi upo masaa 24
bei ni 400k x 6
ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo mbezi mwisho njia ya kuelekea makabe kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji au daladala sh 500 tuu na ukishuka tuu kwenye usafiri unatembea dk 2 upo zote za magari hadi kwenye nyumba
no chain hapa