Apartment nzuri ya kisasa na mazingira mazuri sana inapangishwa bei ni 350,000/= x 6
itakua wazi kuanzia tarehe 10/11/2025 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#garden
#parking kubwa
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
apartment hii ipo mbezi kibanda cha mkaa upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 700 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 3 upo kwenye nyumba,, njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
njia zipo za aina mbili tofauti za kufika kwenye nyumba unaweza kupitia kimara temboni...