tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Nyumba na Vyumba Kwa Kupangisha
Dar es Salaam, Kinondoni, Mbezi, 29/05
6 maoni

1bdrm House in Mbezi for rent

+1
Nyumba
1 chumba cha kulala
1 bafu
Mbezi
Anwani ya Mali
Mbezi
Jina la Mtaa
400sqm
Ukubwa wa sifa
Nyumba
Aina ya mali
Hapana
Huru ya Kujitegemea
Kutengwa
Aina ndogo
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
1
Bafu
1
Vyoo
0
Ada ya Tahadhari
Miezi 6
Kipindi cha Chini cha Kukodisha
Balcony
Balcony
Apartment nzuri inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 05/06/2026 kuiona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo bei ni 300,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba master bedroom kubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking bei ni 300,000/= x 6 apartment hii ipo mbezi mwisho kulia kama unaelekea moro njia ya kuelekea makabe iliyowekwa lami mpya na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu pia kuna bajaji na bodadada muda wote kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent1bdrm House in Mbezi for rent
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif