Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 300,000/= x 6
itakua wazi kuanzia tarehe 27/03/2026
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#heater ya maji moto
#parking
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
bei ni 300,000/= x 6
apartment hii ipo mbezi mwisho njia ya kuelekea shule ya sant ann's au njia ya makabe iliyowekwa lami mpya na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bodaboda au bajaji au daladala
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja